FAIDA YA PARACHICHI USONI

 Mask kwaajili ya chunusi.


🥄 1/4 parachichi lilioiva 🥑


🥄 kijiko kimmoja cha limoa🍋


🥄 nusu kijiko cha unga wa majano


☑️ menya avocado alafu saga mpaka ilainike.🥑


☑️ ongeza juisi ya limao na unga wa manjano kutengeneza paste. 🍋


☑️ Weka mask kwenye uso ulio oshwa.💆‍♀️


☑️ Acha mask ikae kwa muda wa dakika 15🕟


☑️ Alafu osha uso kwa kutumia maji ya vugu vugu..💦


Kwa ushauri nichek 0658005349

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUTENGENEZA LOTION YA KUNG'ARISHA USO NA MWILI MZIMA

MAFUTA YA MNYONYO

SCRUB YA SUKARI NA MAFUTA YA MZEITUNI